vote

Tundu Lissu kuwahutubia wana Dodoma jumatano


Mwanasheria wa Chama cha Chadema Tundu Lissu .


Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu  anatarajia  kuwahutubia wananchi katika manispaa ya Dodoma siku ya Jumatano tarehe tatu ya  wiki hii.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na kutangazwa katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Dodoma na Viunga vyake kwa kutumia gari la matangazo lenye vipaza sauti  imebainisha  kuwa Tundu Lissu  atazungumza na wananchi wa Manispaa ya Dodoma  katika uwanja wa Barafu.

Taarifa hiyo haijazungumzia zaidi masuala ambayo mwanasheria huyo wa Chadema atayazungumzia.

Chanzo: Hivi sasa
Share this article :

Post a Comment

 
Support : GUDMUSICS BLOG | Gm Template | Gm Template
Copyright © 2015. NGOWI HABARII - All Rights Reserved
Template Created by 0756494700 Published by GM Template
Proudly powered by gudmusics blog