vote

JK awasili Algeria

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa viongozi mbalimbali na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelmalik Sellal katika kiunga cha Ikulu ya nchi hiyo cha Zeralda Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelmalik Sellal katika kiunga cha Ikulu ya nchi hiyo cha Zeralda Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.








Rais Jakaya Mrisho Kikwete yupo nchini Algeria kwa ziara ya kikazi ambapo amekutana na  na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Bw. Abdelazizi Bouteflika katika Ikulu  ya hiyo jijini Algiers.

Aidha, Katika ziara hiyo Rais Kikwete ameongozana na  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Bernad Membe.

Rais Kikwete atakuwa nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku ya tatu. Chanzo: Hivi sasa

Share this article :

Post a Comment

 
Support : GUDMUSICS BLOG | Gm Template | Gm Template
Copyright © 2015. NGOWI HABARII - All Rights Reserved
Template Created by 0756494700 Published by GM Template
Proudly powered by gudmusics blog