vote

Chadema yasimamisha shughuli Mkoani Mwanza

Maelfu ya wakazi wa Mwanza waliofika katika uwanja wa Magomeni
Kirumba jijini Mwanza jana kushuhudia mkutano wa Chadema. Picha
Zote na Lordrick Ngowi
Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa
katika furaha ya kuwapokea makada wawili wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)
jana katika uwanja wa Magomeni Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),
Freeman Mbowe, Akimkabidhi aliyekuwa mbunge wa viti maalumu CCM,
Easter Bulaya kadi ya chama hicho jana katika uwanja wa Magomeni
Kirumba jijini Mwanza.

Aliyekuwa Mbunge wa CCM Jimbo la Kahama na kuhamia
Chadema, James Lembeli  na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika wakiwapungia
mkono wakazi wa Mwanza baada ya kuwasili jana.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Dk Wilibroad
Slaa akisalimiana na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee alipowasili uwanja wa
ndege wa Mwanza Jana




Katibu Mkuu wa Chama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),
Dk Wilbroad Slaa akizungumza na wakazi wa Mwanza katika mkutano wa
kuwakaribisha makada wawili wa CCM katika chama hicho kwenye uwanja wa
Magomeni Kirumba jijini Mwanza.

Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),
Tundu Lissu akimkaribisha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum CCM, Easter
Bulaya mara baada ya kusajiliwa katika chama hicho jana  katika uwanja
wa Magomeni Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),
Freeman Mbowe, Akimkabidhi aliyekuwa mbunge wa Kahama, James Lembeli
kadi ya chama hicho jana katika uwanja wa Magomeni Kirumba jijini
Mwanza.


Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na aliyekuwa Mbunge wa viti
maalumu CCM, Easter Bulaya walipowasili uwanja wa ndege wa Mwanza
jana.






Share this article :

Post a Comment

 
Support : GUDMUSICS BLOG | Gm Template | Gm Template
Copyright © 2015. NGOWI HABARII - All Rights Reserved
Template Created by 0756494700 Published by GM Template
Proudly powered by gudmusics blog