vote

Pigo jingine CCM: Waziri Mkuu Mstaafu Sumaye ndani ya Ukawa




Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ametangaza kujiuzulu  rasmi CCM na kuhamia UKAWA katika ukumbi wa Bahari Beach jijini Dar es salaam.

Akizungumza Dakika chache zilizopita alisema kwamba wananchi wameshachoka wanataka mabadiliko na hivyo ameamua kuhama Chama cha Mapinduzi ili kuimarisha chama cha Mapinduzi kwa vile chama hicho haki kuona umuhimu wake akiwa katika chama hicho.

Sumaye alidai kuwa ameamua kuongeza nguvu Ukawa ili kuhakikisha wanafanikiwa kuishika nchi na kuondoa mfumo wa siasa katika utumishi
Share this article :

Post a Comment

 
Support : GUDMUSICS BLOG | Gm Template | Gm Template
Copyright © 2015. NGOWI HABARII - All Rights Reserved
Template Created by 0756494700 Published by GM Template
Proudly powered by gudmusics blog