vote

Tazama picha za mechi kati ya Stand United na Toto African CCM Kirumba

Mchezaji wa timu ya Stand United, Haruna Chanongo akimtoka Mchezaji wa Toto African juzi katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba. Timu hizo ziltoka sare ya bao 1-1.



Wachezaji wa timu ya Toto African, Christopher Edward(kulia) na Abdala Seseme wakimkaba mchezaji wa Stand United juzi katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba. Timu hizo ziltoka sare ya bao 1-1.









Share this article :

Post a Comment

 
Support : GUDMUSICS BLOG | Gm Template | Gm Template
Copyright © 2015. NGOWI HABARII - All Rights Reserved
Template Created by 0756494700 Published by GM Template
Proudly powered by gudmusics blog