![]() |
Wakimbizi wakwama baharini karibu na Thailand |
Shirika la kimataifa la wahamiaji
IOM, linasema kuwa maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladesh na Myanmar,
wamekwama baharini karibu na Thailand baada na kushindwa kufika ardhini.
Katika siku mbili zilizopita, zaidi ya wakimbizi 100 walifika nchini Malaysia na Mynmar.
Waandishi wanasema kuwa wahamiaji hao ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wauzwe na baadaye wazuiliwe kwa fidia na watu wanaofanya biashara haramu ya watu nchini Thailand.
Chanzo: BBC Swahili
Post a Comment