![]() |
| Rais Kikwete akiaga mwili wa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa jijini Dar es salaam. |
Rais Jakaya Kikwete leo ameongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitega katika hospitali kuu ya Lugalo jijini Dar es salaam.
![]() |
| Waziri mkuu Mizengo Pinda akiaga mwili wa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa. |
Kanali Kitega amefariki dunia jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo mazishi yake yatanatarajiwa kufanyika kesho mkoani Morogoro.


Post a Comment